Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

 


Kuna jamaa alipata ajali akapofuka macho👀, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱,

dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?

jamaa: naona ila naona panya tu

👀🐀🐁🐀👀

Comments